December 11, 2023

Day

Amka na TBC1 katika kipindi cha Jambo Tanzania, siku ya Jumanne ya tarehe 12/12/2023 saa moja kamili asubuhi. Prof. Raphael T. Chibunda akizungumza kuhusu “Mchango wa SUA katika sekta ya kilimo”
Read More
Kongamano la Miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika litakalofanyika Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), siku ya tarehe 12/12/2023 kuanzia saa nane mchana. Kauli mbiu: “Miaka 62 ya Uhuru, Kilimo ni Hazina Yetu, Vijana Tunajenga Mustakabali Mpya.” Mgeni rasmi katika Kongamano hili atakuwa: Mh. Gerald Mweli – Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo. Wote mnakaribishwa...
Read More