Mnamo tarehe 10/12/2022 TFSA walifanya katika hafla iliyojulikana kwa jina la TWENZETU BOTANIC GARDEN. Hafla hiyo iliyofanyika BORTANIC GARDEN SUA, ambapo CDA ilialikuwa ni miongoni mwa waalikwa katika hafla hiyo. Hafla hiyo ilitanguliwa na ufanyaji usafi ndani ya BORTANIC GARDEN huku elimu mbalimbali zikitolewa juu ya viumbe mbalimbali waliomo katika bustani garden hiyo. Pia ilitolewa...Read More
Siku ya tarehe 01/12/2022, viongozi pamoja na wanachama wa Asasi Ya Jumuiya Ya Maendeleo Ya Jamii (Community Development Association CDA) walishiriki katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani yaliyofanyika katika viwanja vya chuo cha mifugo liti Manispaa ya Morogoro. Ikiwa ni baada ya kupoke mwaliko kutoka Halimashauri ya Manispaa ya Morogoro. Maadhimisho hayo yalitanguliwa na...Read More
Kwa mujibu wa mkutano wa 19 wa kamati ya ajira na menejimenti ya Rasilimali watu uliofanyika tarehe 28 Novemba, 2022, Dkt Respikius Martin amepandishwa cheo kuwa Mhadhiri Mwandamizi. Idara ya Ugani na Maendeleo ya Jamii inampongeza kwa mafanikio hayo. Share thisRead More
When designing disaster risk reduction strategies there is a need for local and national governments to identify priority strategies for building resilient livelihoods at the community level. There is also a need for the national government to monitor hazard threats and disseminate information on disaster risks through early warning systems. It calls for communication and...Read More
Households’ socio-demographic and health-related characteristics are not expected to hinder progress toward attaining Universal Health Coverage (UHC). The government of Tanzania, in collaboration with other stakeholders in the health sector, has been working hard to improve health services delivery to community members at an affordable cost and accessible environment.Read More
The power of small-scale food processing industries is based on their ability to improve food security by ensuring availability throughout the year. This study used primary and secondary data to obtain information on small-scale food processing industries in semi-arid regions of Tanzania and associated implications for improving food security. About 30 food processors and 6...Read More
The Tanzania Society of Agricultural Education and Extension (TSAEE) is a professional association drawing members from public, private, civil societies, nongovernmental organizations, public and individuals. It regularly meets on annual basis to deliberate on policy and technological issues related to extension services and producers (farmers, livestock keepers, fishers) empowerment. This is achievable with support from...Read More
On 23 September 2022, members of the Department of Agricultural Extension and Community Development had an opportunity to attend a zoom training on writing manuscripts for journals. Share thisRead More
Some of the students pursuing a Bachelor of Community Development (BCD) had an opportunity to conduct a tour at Udzungwa Mountains National Park. Share thisRead More